Update za Msiba wa Mzee Lyatuu.
Wafiwa wanatarijiwa kusafiri kwenda nyumbani kwa mazishi kati ya siku ya Jumanne au Jumatano. Na wanaotarajiwa kusafiri ni Harry, Imma, Hilda, Isaac na watoto watatu. Kama mnavyofahamu gharama za usafiri kwenda nyumbani ni za juu, kwa hiyo familia ya Lyatuu inahitaji msaada wenu wa dhati. Makadirio ya gharama za usafiri ni $7,000. Mchango wenu wa hali na mali unahitajika kukamilisha safari hii.
Kwa wale wasioweza kufika, unaweza kuweka mchango wako kwenye account ifuatayo:
Harigod Lyatuu
Chase Bank
Routing: 044000037
Account: 804008191
Kwa niaba ya familia ya Lyatuu, tunatanguliza shukrani za dhati. Kama kuna maswali yoyote, wasiliana na wafuatao:
Bidan Mchao - 614-670-2312
Peter Kirigiti - 614-668-8096
Eliud Mashamba - 614-707-9353
Godfrey Moshy - 614-592-9931
Aileen Lyimo - 614-374-8237
Sunday, April 10, 2011
Thursday, March 31, 2011
KUJIANDIKISHA UANACHAMA
Ndugu WaTanzania wote,
Tuna wataarifu kwamba siku ya Jumamosi tarehe 2 March 2011 tutakuwepo TASTE OF ZANZIBAR kuandikisha watu wanao taka kujiunga na mfuko.
Adress ni 3322 Morse Road
Columbus, OH 43231-6136
Saa: From 4:00 PM - 8:00 PM
Tuna fahamu kwamba wajumbe wengi mmekuwa mkitafuta namna ya kujiunga kwahiyo siku hii inatupa fursa ya kuweza kujiandikisha.
Ada ya mwaka ni $40 na ada ya uandikishwaji ni $10, ada hizi zinatakiwa zilipwe kwa wakati mmoja.
Pia kwa wale ambao hamta weza kufika mnaweza kuwasiliana na wafuatao.
Dorothy Njau 614-589-5685
Nasra Mrumah 614-598-5486
William Mwandambo 614-537-1448
Maoni yanakaribishwa.
Asanteni
Uongozi wa Mfuko.
Tuna wataarifu kwamba siku ya Jumamosi tarehe 2 March 2011 tutakuwepo TASTE OF ZANZIBAR kuandikisha watu wanao taka kujiunga na mfuko.
Adress ni 3322 Morse Road
Columbus, OH 43231-6136
Saa: From 4:00 PM - 8:00 PM
Tuna fahamu kwamba wajumbe wengi mmekuwa mkitafuta namna ya kujiunga kwahiyo siku hii inatupa fursa ya kuweza kujiandikisha.
Ada ya mwaka ni $40 na ada ya uandikishwaji ni $10, ada hizi zinatakiwa zilipwe kwa wakati mmoja.
Pia kwa wale ambao hamta weza kufika mnaweza kuwasiliana na wafuatao.
Dorothy Njau 614-589-5685
Nasra Mrumah 614-598-5486
William Mwandambo 614-537-1448
Maoni yanakaribishwa.
Asanteni
Uongozi wa Mfuko.
Subscribe to:
Posts (Atom)