Saturday, November 27, 2010

Karibuni Watanzania wote mnaoishi columbus na popote pale duniani.

Hii ni blogu yenu kwa ajili ya mambo yenu yanayotokea kwenye jumuiya yenu.Baadhi ya mambo hayo ni kupeana matukio ya harusi,kufuzu vyuo vikuu na mashule mbali mbali,taarifa za usalama ,uhamiaji,misiba,na kadhalika.Ni madhumuni yetu kuendelea kupendana,kuheshimiana,kushauriana na kusaidiana kama wanajumuiya ambao tumetoka sehemu moja-Tanzania.